Header Ads Widget

Ticker

6/recent/ticker-posts

Tumia Njia Hizi Kutengeneza Pesa Mtandaoni Kupitia 1XBET(Uhitaji Kubet)


Je umeshawahi kujiuliza kuwa unaweza kutengeneza pesa mtandaoni kupitia makampuni ya kubashiri matokeo ya michezo mbalimbali bila ya wewe kubet? Kabla ya yote kama huna account ya 1XBET unaweza kujisajili kupitia hii link sehemu ya promo code weka PESA99 kwa herufi kubwa ili uweze kupata bonus ya asilimia 200%

1xbet Tanzania

Ni imani yangu kuwa ni watu wachache wanaofahamu kuwa inawezekana kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni za ubashiri bila ya wewe kubet.

Soma pia: Mambo 5 muhimu ya kuzingatia kabla unalenga kutengeneza pesa mtandaoni.

Kama ulikuwa uamini basi makala hii itakufumbua macho, katika makala hii utaweza kutambua ni kwa namna gani unaweza kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni maarufu ya kubet iitwayo 1XBET, namna ya kujiunga na 1xbet, jinsi ya kulipwa na vitu unavyotakiwa kuwa navyo ili uanze kulipwa na 1xbet bila ya kubet.


1XBET ni nini?

1xbet ni kampuni ya kubashiri matokeo ya michezo mbalimbali. Ni mojawapo ya kampuni maarufu ya kubet duniani.


Kama wewe ni mpenzi wa Ligi za Ulaya ni imani yangu umeshawahi kuona matangazo ya hii kampuni kwa viwanja vikubwa vya michezo duniani.


Ni kwa namna gani naweza kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni ya 1XBET?

Kiufupi kuna njia mbili za kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni ya 1XBET. Njia hizo ni,

1. Kubashiri (Betting) matokeo ya michezo mbalimbali na kisha kulipwa.

2. Kupitia kuwa wakala wao (1xbet affiliate/partners)   na 1XCASH


Bila kupoteza muda tuanze kuchambua njia hizi za kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni ya 1xbet;

1. Kubashiri (Betting)

Watu walio wengi wanatumia njia hii (kubet) kujiongezea kipato kupitia kampuni hii. Zifuatazo ni faida utakazozipata kwa kubashiri kupitia kampuni ya 1xbet;

➡️ Birthday Bonus, hii ni unalipwa kila mwaka pale ifikapo siku uliyojiunga na kuanza kubet na 1xbet. Kwa mfano kama ulijiunga na 1xbet tarehe 1/1/2020 itakapofika tarehe 1/1/2021utapewa bonus kwenye account yako ya 1xbet kwahiyo unaweza kuamua kuitoa au kuitumia kubashiri 

➡️ Bonus Mara 3 zaidi ya asilimia 130% ya pesa utayoweka. Pale utakapojiunga na 1xbet na ukaweka ela kwa mara ya kwanza utapewa bonus mara tatu ya pesa uliyoiweka. Kumbuka ili kupata bonus hiyo unatakiwa kuweka kiasi kisichopungua dollar $1 ambayo inakaribia 2500 ya kitanzania na pia wakati wa kujisajili kwenye kampuni yao kwenye sehemu ya Promo code jaza hivi PESA99

➡️ Kubet michezo yote, kuna michezo ya aina tofauti tofauti kuanzia mpira wa miguu, basketball, volleyball, Casino, Cricket, Boxing, Tenis na michezo mingine mingi.

➡️ Unaweza kubet live na kabla ya mchezo kuanzia, kupitia hii kampuni unapewa uhuru wa kubet mda wowote, kabla, ya mchezo kuanza, katikati ya mechi na mechi ikaribia kuisha ni ruksa kubet

Soma pia: Njia 7 halali za kutengeneza pesa mtandaoni kupitia smartphone yako.

➡️ Machaguo mengi kuliko kote

➡️ Haukatwi kodi baada ya kushinda. Tofauti na kampuni nyingine ambazo hukata kodi wateja wao pindi wanaposhinda mkeka huwakata kodi, hali ni tofauti kwa 1xbet wenyewe hawakukati kodi yoyote (Hakatwi kodi mtu hapa)

➡️ Unapata bonus Mara 2 ya pesa utayoweka jumatano na ijumaa, kila jumatano na ijumaa ya kila wiki unapewa bonus mara mbili ya kiasi cha pesa ulichoweka. Hiyo bonus unaweza kuitoa au kuitumia kubashiri.

➡️ Kupitia app ya 1xbet

 unaweza tazama michezo ambayo ipo live. Kama una app ya 1xbet ipakue Hapo chini kisha jisajili

Download app ya 1xbet hapa

➡️Njia zaidi ya 150 za malipo katika nchi zaidi ya 50 ikiwemo Tanzania


Jinsi ya kujiunga/kujisajili na 1xbet

Kama ujajisajili have 1xbet usiwaze kwani hujachelewa tumia link hii hapo chini kujisajili kisha fuata maelekezo

Jisajili na 1xbet hapa  PROMO CODE PESA99

Baada ya kuingia kwenye website yao bonyeza sehemu iliyoandikwa "Registration" kama inavyooneka kwenye picha hapo chini,


Jinsi ya Kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni ya 1xbet

Baada ya kubonyeza kitufe cha registration utatokea uwanja kama unavyoonekana hapo chini. Bonyeza sehemu iliyoandikwa "One Click" hapo chini kuna sehemu imeandikwa "Promo code" hiyo sehemu jaza PESA99



 kisha shuka chini bonyeza sehemu iliyoandikwa "Registration" kukamilisha usajili.

Baada ya hapo utapatiwa username na password yako kama inavyooneka hapo chini, inakili mahali (sehemu yoyote) kwa sababu hiyo username na password ndio zitakusaidia kuingia kwenye account yako ya 1xbet na kubet.

Jinsi ya Kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni ya 1xbet

Kufikia hatua hiyo utakuwa umekamilisha kufungua akaunti yako ya 1xbet na kuanza kufurahi huduma za kipekee na bonus kutoka 1xbet. Nipende kukumbusha kuwa kama hujajisajili na 1XBET,

Bonyeza hapa kujisajili. Na pia kama hujapakua (download) app ya 1XBET Bonyeza hapa kudownload.


Kama utaona ni vigumu kujisajili, kuweka pesa na kutoa pesa kwenye akaunti yako ya 1xbet unaweza kujiunga na Group letu la Telegram la 1XBET kwa kubonyeza hapa.


Jinsi ya kuweka pesa na kutoa pesa kutoka kwenye akaunti yako ya 1xbet


Jinsi ya Kuweka Pesa kwenye account yako ya 1xbet

√Ingia kwenye akaunti yako ya 1xbet. Bonyeza sehemu iliyoandikwa "Deposit" kama inavyoonekana hapo chini kwenye hiyo picha


Baada ya hapo zitatokea njia mbalimbali za kuweka pesa kama inavyoonekana hapo chini. Unaweza kuweka pesa kupitia M-pesa, Tigo-Pesa na mitandao mingine au kuptia crypto currency kama USDT au TRON. Binafsi natuma pesa kwenye account yangu kwa kutumia Mpesa Master card. Kama utaamua kutumia M- pesa Master card fuatisha maelezo kwa njia ya picha hapo chini

Jinsi ya Kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni ya 1xbet
Jinsi ya Kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni ya 1xbet

Jinsi ya Kutengeneza pesa mtandaoni


Baada ya kufuatisha njia hizo utakuwa umefanikiwa kuweka pesa kwenye akaunti yako na utakuwa huru kufurahia huduma za kubashiri na bonus zinazotolewa na kampuni hii.


B. Jinsi ya kutoa pesa kutoka kwenye akaunti yako ya 1xbet

√Ingia kwenye akaunti yako ya 1xbet bonyeza sehemu iliyoandikwa "Withdrawal"  kama inavyooneka hapo chini. 

jinsi ya Kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni ya 1xbet

Chagua njia unayotaka kutoa pesa binafsi natumia Master Card japo kuna njia mbalimbali za kutoa pesa yako kwahiyo unaweza kuchagua njia inayokufaa. Hapo chini ni kiasi nilichotoa kwenye account yangu ya 1xbet kwa kutumia M-pesa Master Card;

jinsi ya kutoa pesa kwenye account yako ya 1xbet

Njia nyingine rahisi ya kutoa na kuweka pesa kwenye account yako ni kupitia 1xcash. Hawa ni mawakala wa 1xbet (ni sawa na mawakala wa M-Pesa au Airtel Money) waliosambaa sehemu mbalimbali duniani na Tanzania wapo wengi tu. Kazi yao ni kuwasaidia wanaobet kutoa na kuweka pesa zao kwenye account zao za 1xbet kiurahisi na kwa mda mfupi bila makato.

Jiunge na Group letu la 1xbet la Telegram kwa ufafanuzi zaidi kuhusu huduma ya 1xcash. Bonyeza hapa kuangana nasi Telegram.

Baada ya kuangalia njia ya kwanza ya Kutengeneza pesa kupitia kampuni ya 1xbet, sasa tuangalie njia ya pili ya kutengeneza pesa kupitia kampuni hii ambayo ndio lengo la kuandika makala hii,

Soma pia: Jinsi ya Kutengeneza zaidi ya Shilingi 2000 kila siku kwa kutumia app ya Premise.


2. Kuwa wakala wa 1XBET (1xbet partners/affiliate)

Kuna namna mbili za kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni ya 1xbet ukikubaliwa kuwa wakala. 

Nitaanza kuelezea moja baada ya nyingine,

Njia ya kwanza ni kuwa wakala wao kwa kutangaza kampuni yao na kusajili watu wajiunge na 1xbet. Kupitia njia hii ukijisajili na ukakubaliwa kutangaza kampuni yao utapewa utapewa affiliate link kama hii ambayo unaweza kuisambaza kwenye mitandao yako ya kijamii kama vile WhatsApp, twitter au Telegram au kuiweka kwenye blog yako. Pia utapewa matangazo (banners) ambapo mtu yeyote akijiunga kupitia link hiyo au akabonyeza tangazo akajisajili na akaanza kubashiri utalipwa. 

Hapo chini ni mfano wa matangazo niliyopewa kuweka kwenye blog yangu

Zifuatazo ni faida utakazozipata baada ya kukubaliwa kutangaza huduma za kampuni ya 1xbet;


√Malipo ya dollar $30 kila wiki.

 √Uzuri wa 1xbet mtu akisajili na kuanza kubet na 1xbet kupitia link yako, utaendelea kulipwa pesa asilimia 25% ya mapato ya kampuni kutoka kwa mtu alijisajili mda wote endapo mtu aliyejisajili kupitia link yako au matangazo (banner ad) ataendelea kubet kupitia kampuni ya 1xbet

√Kama wewe una blog au website, utaweza kukuza blog yako au website kwa kuongeza Traffic. Binafsi natumia matangazo ya 1xbet kama utachunguza vizuri kwenye blog yangu utaona kuna matangazo ya 1xbet, ambapo najiongezea kipato kupitia hii kampuni pia traffic kwenye blog yangu.

Soma pia: Njia 5 za Kutengeneza Pesa Mtandaoni Kupitia blog.

√Utapata takwimu za watu waliojiunga kupitia link uliyopewa na 1xbet pia na idadi ya watu waliotembelea link na matangazo (banners) kwenye blog yako.

√Huduma kwa wateja mda wote masaa 24.

Jiunge na 1XBET affiliate/partner program kwa kubonyeza hapa.


Njia ya pili ya kutengeneza pesa mtandaoni kupitia kampuni ya 1xbet, ni kuwa wakala wa 1xCASH.

Hapo mwanzoni nimeugusia kidogo hii huduma ya 1xcash. Kama nilivyoeleza toka mwanzo 1xcash ni wakala wa 1xbet anayehusika na kuwasaidia wateja au watu wanaobet na 1xbet kuweka na kutoa pesa zao kiurahisi, bila makato na kwa mda mfupi. Huduma hii ni mkombozi wa wateja ambao wanashindwa kuweka na kutoa pesa kwenye akaunti zao za 1xbet kwa kutumia njia zinazokubalika na kampuni kutoa na kuweka pesa mfano VISA, Master Card, Skrill n.k

Tengeneza pesa kwa kuwa wakala wa 1xcash

Utapokubaliwa kuwa wakala wa 1xcash utakuwa unalipwa na kampuni ya 1xbet kulingana na miamala uliyoifanya. Hivyo basi kadri unavyofanya miamala mingi ya kutoa na kuweka pesa kwa watumiaji wa 1xbet ndivyo unavyojiongezea nafasi ya kupata pesa ndefu kutoka kwenye kampuni hii.

Je ungependa kuwa wakala wa 1xCASH?

Bonyeza hapa kutuma maombi.

Kuhusu kulipwa kama umekubaliwa kuwa wakala aidha 1xcash au wakala wa kutangaza kampuni yao, kwenye ile fomu ya maombi kuna sehemu ya kujaza njia  utakayopenda kulipwa pesa zako, hivyo unaweza kuchagua kulipwa kwa njia ya Benki au nyingine. Kama utachagua njia ya Benki utaweka taarifa za akaunti yako ya benki. Binafsi nilichagua kupokea malipo yangu kwa njia ya Benki.


HITIMISHO

Ni imani yangu kuwa kama wewe ni mtu ambaye anapenda siku moja atengeneze pesa mtandaoni, makala hii itakuwa imekusaidia kwa kiasi fulani. Itakuwa imekufungua macho kwamba unaweza usiwe unabet lakini ukawa unajiongezea kipato kupitia makampuni ya ubashiri.

Kama ungependa kuelekezwa njia mbalimbali za kutengeneza pesa mtandaoni usisite kujiunga na group letu la Telegram. Ungana nasi Telegram kwa kubonyeza hapa.

Kama Ungependa kutengenezewa Youtube Channel au Blog/website usisite kuwasiliana nasi kwa email johonline2@gmail.com


Je una maoni au swali lolote? Tafadhali andika maoni au mchango wako hapo chini au tutumie maoni yako kupitia email johonline2@gmail.com kisha washirikishe wengine makala hii. Tukutane kwenye makala hijayo panapo majaliwa.









Post a Comment

2 Comments

ONLINE said…
Biggup sana jovin uko vzr. Lakini naomba unicheki 0628469436 Kama hutojali
Habari zenu, nipo hapa kushuhudia, jinsi nilivyo kuwa mwanamitindo tajiri na maarufu duniani mwenye mafanikio makubwa, nimekuwa nikipitia magumu miaka nenda rudi, tangu nilipofiwa na wazazi wangu wote wawili, sikuweza kuendelea zaidi na mshikaji wangu kutokana na Suluhu la kifedha basi, hadi miezi mitano iliyopita, nilimaanisha rafiki ambaye aliniingiza kwenye familia ya freemason, mwanzoni niliogopa kujiunga, kwa sababu nimesoma habari nyingi za uongo kwenye mtandao kuhusu familia ya freemasonry, na ambayo sasa ninaijua. hiyo sio kweli, zote zilikuwa habari za uongo, na napenda kutumia fursa hii kusema asante sana kwa familia ya freemason, ndugu wote wa familia hii, nawashukuru sana kwa support mnayonipa, na kwa waliodhani familia ya freemasonry ni mbaya, haijui sheria na kanuni za huyu jamaa, tafadhali acha kuhukumu ulikuwa hujui, na acha kusambaza habari za uongo, kama una nia ya kuwa mwanachama ufurahie. faida za familia ya freemasonry, contact off anuani icial hapa chini kwa taarifa zaidi.

WhatsApp; +31 687 329 133
Barua pepe; info.masonic.oregon@email.cz
Barua pepe; info.masonic.oregon@gmail.com
Au soma zaidi kuhusu sisi kwenye kiungo cha ukurasa wa Facebook; https://web.facebook.com/infomasonicoregon